Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye atachinjwa kando ya madhabahu kuelekea kaskazini mbele za Yehova, nao wana wa Haruni, makuhani, watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.+

  • Mambo ya Walawi 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa+ cha toleo lake, nalo litachinjwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano; nao wana wa Haruni, makuhani, watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu kuizunguka pande zote.

  • Mambo ya Walawi 6:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Sema na Haruni na wanawe, na kuwaambia, ‘Hii ndiyo sheria ya toleo la dhambi:+ Katika mahali+ ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida, toleo la dhambi litachinjwa mbele za Yehova. Ni kitu kitakatifu zaidi.+

  • Mambo ya Walawi 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika mahali+ ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida, hapo watachinja toleo la hatia, na damu+ yake atainyunyiza+ juu ya madhabahu kuizunguka pande zote.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki