26 Naye atayafukiza mafuta yake yote kwenye madhabahu kama yale mafuta ya dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa ajili ya dhambi zake,+ naye atasamehewa.
8 Baada ya kwanza kusema: “Hukutaka wala hukukubali dhabihu na matoleo na matoleo mazima ya kuteketezwa na toleo la dhambi”+—dhabihu zinazotolewa kulingana na Sheria+—