-
Waebrania 10:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Kwanza aliposema: “Hukutaka wala hukukubali dhabihu, matoleo, dhabihu nzima za kuteketezwa, na dhabihu za dhambi”—dhabihu zinazotolewa kulingana na Sheria—
-
-
Waebrania 10:8Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
8 Baada ya kwanza kusema: “Hukutaka wala hukukubalia dhabihu na matoleo na matoleo mazima ya kuchomwa na toleo la dhambi” —dhabihu zitolewazo kulingana na Sheria—
-