2 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa+ cha toleo lake, nalo litachinjwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano; nao wana wa Haruni, makuhani, watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu kuizunguka pande zote.
21 Na Haruni ataweka mikono yake miwili+ juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai na kuungama+ juu yake makosa+ yote ya wana wa Israeli na maasi yao yote na dhambi+ zao zote, naye atayaweka juu ya kichwa cha yule mbuzi+ na kumpeleka mpaka nyikani+ kwa mkono wa mtu aliye tayari.+
28 vivyo hivyo pia Kristo alitolewa+ mara moja kwa wakati wote ili kubeba dhambi za wengi;+ na mara ya pili+ atakapotokea+ itakuwa ni bila dhambi+ na kwa wale wanaomtazamia kwa bidii kwa ajili ya wokovu wao.+
24 Yeye mwenyewe alichukua dhambi+ zetu katika mwili wake mwenyewe juu ya mti,+ ili tuachane kabisa na dhambi+ na kuishi kwa uadilifu. Na “kwa mapigo yake mliponywa.”+