Methali 11:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mji huchangamka kwa sababu ya wema wa waadilifu,+ lakini watu hulia kwa shangwe waovu wanapoangamia.+ Methali 29:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia;+ lakini mtu yeyote mwovu anapotawala, watu huugua.+ Mhubiri 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+
10 Mji huchangamka kwa sababu ya wema wa waadilifu,+ lakini watu hulia kwa shangwe waovu wanapoangamia.+
19 Mkate ni kwa ajili ya kicheko cha wafanyakazi, na divai hufanya maisha yafurahishe;+ lakini pesa ndizo hutokeza jibu katika mambo yote.+