Esta 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na mfalme akawaambia watu wenye hekima+ walio na ujuzi wa nyakati+ (kwa maana hivyo ndivyo mambo ya mfalme yalivyokuja mbele ya wote wenye ujuzi wa sheria na kesi. Luka 12:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Wanafiki, mnajua jinsi ya kuchunguza kuonekana kwa dunia na anga, lakini inawezekanaje hamjui jinsi ya kuuchunguza wakati huu maalumu?+
13 Na mfalme akawaambia watu wenye hekima+ walio na ujuzi wa nyakati+ (kwa maana hivyo ndivyo mambo ya mfalme yalivyokuja mbele ya wote wenye ujuzi wa sheria na kesi.
56 Wanafiki, mnajua jinsi ya kuchunguza kuonekana kwa dunia na anga, lakini inawezekanaje hamjui jinsi ya kuuchunguza wakati huu maalumu?+