Danieli 2:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Danieli akajibu mbele ya mfalme na kusema: “Siri ambayo mfalme anauliza, watu wenye hekima, wala wafanya-mazingaombwe, wala makuhani wenye kufanya uchawi wala wanajimu hawawezi kumwonyesha mfalme.+
27 Danieli akajibu mbele ya mfalme na kusema: “Siri ambayo mfalme anauliza, watu wenye hekima, wala wafanya-mazingaombwe, wala makuhani wenye kufanya uchawi wala wanajimu hawawezi kumwonyesha mfalme.+