32 Na wa wana wa Isakari+ walio na ujuzi wa jinsi ya kutambua nyakati+ ili kujua yale ambayo Israeli wanapaswa kufanya,+ walikuwa 200 wa kwao, na ndugu zao wote walifuata maagizo yao.
3 na asubuhi, ‘Kutakuwa na baridi kali, na mvua leo, kwa maana anga ni jekundu, na lenye mawingu mazito.’ Mnajua jinsi ya kufasiri kuonekana kwa anga, lakini ishara za nyakati hamwezi kuzifasiri.]]+