-
Mathayo 16:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 na asubuhi mnasema: ‘Leo kutakuwa na baridi kali na mvua, kwa maana anga ni jekundu na lina mawingu mazito.’ Mnajua jinsi ya kufafanua hali ya anga, lakini hamwezi kufafanua ishara za nyakati.
-
-
Mathayo 16:3Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
3 na kwenye asubuhi, ‘Itakuwa hali-hewa ya baridi-baridi, yenye mvua-mvua leo, kwa maana anga ni nyekundu-moto, lakini yenye sura nzito-nzito.’ Mwajua jinsi ya kufasiri kuonekana kwa anga, lakini ishara za nyakati hamwezi kuzifasiri.]]
-