Methali 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hekima ya mwerevu ni kuelewa njia yake,+ lakini upumbavu wa wajinga ni udanganyifu.+ Mhubiri 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hekima ina nguvu zaidi kwa mwenye hekima kuliko watu kumi wenye mamlaka waliokuwa katika jiji.+ Mhubiri 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, na mtenda-dhambi mmoja tu anaweza kuharibu mambo mengi mema.+
18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, na mtenda-dhambi mmoja tu anaweza kuharibu mambo mengi mema.+