14 Kwa hiyo Yehova mwenyewe atawapa ninyi ishara: Tazama! Mwanamwali+ kwa kweli atapata mimba,+ naye atazaa mwana,+ naye hakika atamwita jina lake Imanueli.
2 “Nawe, Ee Bethlehemu Efratha,+ wewe uliye mdogo sana kuwa kati ya maelfu ya Yuda,+ kutoka kwako+ atanijia yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,+ ambaye asili yake ni kutoka nyakati za kale, kutoka siku za wakati usio na kipimo.+
54 Ndipo akaendelea kuuambia pia umati: “Mnapoona wingu likizuka katika sehemu za magharibi, mara moja ninyi husema, ‘Dhoruba inakuja,’ na huwa hivyo.+