Mathayo 16:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na asubuhi, ‘Kutakuwa na baridi kali, na mvua leo, kwa maana anga ni jekundu, na lenye mawingu mazito.’ Mnajua jinsi ya kufasiri kuonekana kwa anga, lakini ishara za nyakati hamwezi kuzifasiri.]]+ Luka 19:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 akisema: “Kama wewe, naam, wewe, ungalikuwa umefahamu+ leo mambo yanayohusiana na amani—lakini sasa yamefichwa kutoka machoni pako.+
3 na asubuhi, ‘Kutakuwa na baridi kali, na mvua leo, kwa maana anga ni jekundu, na lenye mawingu mazito.’ Mnajua jinsi ya kufasiri kuonekana kwa anga, lakini ishara za nyakati hamwezi kuzifasiri.]]+
42 akisema: “Kama wewe, naam, wewe, ungalikuwa umefahamu+ leo mambo yanayohusiana na amani—lakini sasa yamefichwa kutoka machoni pako.+