Hesabu 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hata hivyo, wana wa Kora hawakufa.+ 1 Mambo ya Nyakati 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu+ mwana+ wa Kora+ na ndugu zake wa nyumba ya baba yake Wakora,+ juu ya kazi ya utumishi, watunza-milango+ ya hema, na baba zao juu ya kambi ya Yehova, watunzaji wa njia ya kuingilia.
19 Na Shalumu mwana wa Kore mwana wa Ebiasafu+ mwana+ wa Kora+ na ndugu zake wa nyumba ya baba yake Wakora,+ juu ya kazi ya utumishi, watunza-milango+ ya hema, na baba zao juu ya kambi ya Yehova, watunzaji wa njia ya kuingilia.