Mwanzo 32:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bila kukawia, Yakobo alipowaona akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!”+ Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.+ Yoshua 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo yeye akasema: “Hapana, lakini mimi—nikiwa mkuu wa jeshi la Yehova nimekuja sasa.”+ Basi Yoshua akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kumwambia: “Bwana wangu anamwambia nini mtumishi wake?”
2 Bila kukawia, Yakobo alipowaona akasema: “Hii ni kambi ya Mungu!”+ Kwa hiyo akapaita mahali hapo Mahanaimu.+
14 Ndipo yeye akasema: “Hapana, lakini mimi—nikiwa mkuu wa jeshi la Yehova nimekuja sasa.”+ Basi Yoshua akaanguka kifudifudi,+ akasujudu na kumwambia: “Bwana wangu anamwambia nini mtumishi wake?”