Mwanzo 49:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Naye Gadi, atavamiwa na kikundi cha waporaji, lakini yeye atavamia upande wa nyuma kabisa.+ Kumbukumbu la Torati 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akamwambia Gadi:+“Amebarikiwa yule anayepanua mipaka ya Gadi.+Yeye atakaa kama simba,+Naye atararua mkono, naam, utosi wa kichwa.+
20 Naye akamwambia Gadi:+“Amebarikiwa yule anayepanua mipaka ya Gadi.+Yeye atakaa kama simba,+Naye atararua mkono, naam, utosi wa kichwa.+