Kumbukumbu la Torati 33:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Naye akamwambia Gadi:+“Amebarikiwa yule anayepanua mipaka ya Gadi.+Yeye atakaa kama simba,+Naye atararua mkono, naam, utosi wa kichwa.+ Yoshua 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na pamoja na ile nusu nyingine ya kabila, Warubeni na Wagadi walichukua urithi wao ambao Musa aliwapa ng’ambo ya Yordani iliyo upande wa mashariki, kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa amewapa,+
20 Naye akamwambia Gadi:+“Amebarikiwa yule anayepanua mipaka ya Gadi.+Yeye atakaa kama simba,+Naye atararua mkono, naam, utosi wa kichwa.+
8 Na pamoja na ile nusu nyingine ya kabila, Warubeni na Wagadi walichukua urithi wao ambao Musa aliwapa ng’ambo ya Yordani iliyo upande wa mashariki, kama vile Musa mtumishi wa Yehova alivyokuwa amewapa,+