Mwanzo 49:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+ Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+ 2 Mambo ya Nyakati 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mkono wa Mungu wa kweli ukawa katika Yuda pia ili kuwapa moyo mmoja+ ili watende amri+ ya mfalme na wakuu kuhusu lile jambo la Yehova.+ Zaburi 110:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+
8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+
10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+
12 Mkono wa Mungu wa kweli ukawa katika Yuda pia ili kuwapa moyo mmoja+ ili watende amri+ ya mfalme na wakuu kuhusu lile jambo la Yehova.+
3 Watu wako+ watajitoa kwa hiari+ katika siku ya jeshi lako.+Katika fahari za utakatifu,+ kutoka tumbo la uzazi la mapambazuko,Una kundi lako la vijana kama matone yaumande.+