17 Kisha Daudi akatoka na kuwaambia: “Ikiwa mmekuja kwangu kwa amani ili kunisaidia, moyo wangu utaungana nanyi. Lakini ikiwa mmekuja kunisaliti kwa maadui wangu wakati mikono yangu haijatenda kosa lolote, Mungu wa mababu zetu na aone hilo na kuhukumu.”+