1 Mambo ya Nyakati 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Benyamini+ naye akamzaa Bela+ mzaliwa wake wa kwanza, Ashbeli+ wa pili, Ahara+ wa tatu, 1 Mambo ya Nyakati 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 wenye upinde, wanaotumia mkono wa kuume na kutumia mkono wa kushoto+ wakiwa na mawe+ au wakiwa na mishale+ katika upinde.+ Walikuwa wa ndugu za Sauli, wa Benyamini.
2 wenye upinde, wanaotumia mkono wa kuume na kutumia mkono wa kushoto+ wakiwa na mawe+ au wakiwa na mishale+ katika upinde.+ Walikuwa wa ndugu za Sauli, wa Benyamini.