1 Wakorintho 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho+ ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, pia, hakuna ambaye amekuja kuyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho+ ya Mungu.
11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho+ ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, pia, hakuna ambaye amekuja kuyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho+ ya Mungu.