1 Samweli 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na wale Waebrania waliokuwa wamekuwa mali ya Wafilisti+ kama hapo zamani na waliokuwa wamepanda pamoja nao kuingia katika kambi iliyozunguka pande zote, hata wao pia wakawa upande wa Israeli ambao walikuwa pamoja na Sauli na Yonathani.
21 Na wale Waebrania waliokuwa wamekuwa mali ya Wafilisti+ kama hapo zamani na waliokuwa wamepanda pamoja nao kuingia katika kambi iliyozunguka pande zote, hata wao pia wakawa upande wa Israeli ambao walikuwa pamoja na Sauli na Yonathani.