11 Basi watu elfu tatu wa Yuda wakashuka kwenye mpasuko wa mwamba Etamu,+ wakamwambia Samsoni: “Je, hujui kwamba Wafilisti wanatutawala?+ Basi jambo hili ambalo umetutendea linamaanisha nini?” Ndipo akawaambia: “Nimewatendea wao kama walivyonitendea mimi.”+