2 Samweli 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Daudi akasema: “Jambo hili linawahusuje, ninyi wana wa Seruya,+ kwamba mtende kinyume cha matakwa yangu? Je, mtu yeyote anapaswa kuuawa leo katika Israeli? Je, sijui kwamba leo mimi ndiye mfalme wa Israeli?”
22 Lakini Daudi akasema: “Jambo hili linawahusuje, ninyi wana wa Seruya,+ kwamba mtende kinyume cha matakwa yangu? Je, mtu yeyote anapaswa kuuawa leo katika Israeli? Je, sijui kwamba leo mimi ndiye mfalme wa Israeli?”