39 Niko dhaifu leo, ingawa nimetiwa mafuta kuwa mfalme,+ na wanaume hawa, wana wa Seruya,+ ni wakatili sana kwangu.+ Yehova na amlipe mtenda maovu kulingana na uovu wake mwenyewe.”+
10 Lakini mfalme akasema: “Nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya?+ Mwacheni anitukane,+ kwa sababu Yehova amemwambia,+ ‘Mtukane Daudi!’ Basi ni nani anayepaswa kumuuliza, ‘Kwa nini unafanya hivi?’”