39 Nami leo niko dhaifu ingawa nimetiwa mafuta+ niwe mfalme, na watu hawa, wana wa Seruya,+ ni wakali mno kwangu.+ Yehova na amlipe mwenye kufanya mabaya kulingana na ubaya wake mwenyewe.”+
10 Lakini mfalme akasema: “Nina nini nanyi,+ enyi wana wa Seruya?+ Mwacheni alaani+ hivyo, kwa sababu Yehova amemwambia,+ ‘Mlaani Daudi!’ Basi ni nani anayepaswa kusema, ‘Kwa nini ulifanya hivyo?’”+