1 Samweli 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini watu wasiofaa kitu+ wakasema: “Huyu atatuokoa vipi?”+ Basi wakamdharau,+ wala hawakumletea zawadi yoyote.+ Lakini yeye akaendelea kuwa kama mtu asiyeweza kusema.+ Methali 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+ Usishirikiane na watu wanaotaka badiliko.+
27 Lakini watu wasiofaa kitu+ wakasema: “Huyu atatuokoa vipi?”+ Basi wakamdharau,+ wala hawakumletea zawadi yoyote.+ Lakini yeye akaendelea kuwa kama mtu asiyeweza kusema.+