Waamuzi 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo wana wa Israeli wakasema: “Ni nani kati ya makabila yote ya Israeli ambaye hakumjia Yehova katika kutaniko, kwa maana kuna kiapo+ kikubwa ambacho kimefanywa kuhusu yule ambaye hakumjia Yehova katika Mispa, kusema: ‘Lazima atauawa.’”+
5 Ndipo wana wa Israeli wakasema: “Ni nani kati ya makabila yote ya Israeli ambaye hakumjia Yehova katika kutaniko, kwa maana kuna kiapo+ kikubwa ambacho kimefanywa kuhusu yule ambaye hakumjia Yehova katika Mispa, kusema: ‘Lazima atauawa.’”+