-
Waamuzi 21:5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
5 Kisha Waisraeli wakaulizana, “Ni kabila gani kati ya makabila yote ya Israeli ambalo halikukusanyika mbele za Yehova?” kwa kuwa walifanya kiapo kikubwa kwamba yeyote ambaye hakufika Mispa mbele za Yehova lazima auawe.
-