Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 1:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Kisha watu wote wakapanda wakiwa wanamfuata, na watu walikuwa wakipiga filimbi+ na kushangilia kwa shangwe kubwa,+ hivi kwamba dunia+ ikapasuka kwa sababu ya kelele zao.

  • 2 Wafalme 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha akaona, na tazama, mfalme alikuwa amesimama kando ya nguzo+ kama ilivyo desturi, na wakuu na tarumbeta+ kando ya mfalme, na watu wote wa nchi wakishangilia+ na kupiga tarumbeta. Athalia+ akayararua mavazi yake mara moja, akaanza kulia: “Ni hila! Ni hila!”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na pia wale waliokuwa karibu nao, hata mpaka Isakari+ na Zabuloni+ na Naftali,+ wakawa wakileta chakula juu ya punda+ na juu ya ngamia na juu ya nyumbu na juu ya ng’ombe, vyakula vya unga,+ keki za tini zilizoshinikizwa+ na keki za zabibu kavu+ na divai+ na mafuta+ na ng’ombe+ na kondoo+ kwa wingi sana, kwa maana kulikuwa na shangwe+ katika Israeli.

  • Ufunuo 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki