14 Kisha akaona, na tazama, mfalme alikuwa amesimama kando ya nguzo+ kama ilivyo desturi, na wakuu na tarumbeta+ kando ya mfalme, na watu wote wa nchi wakishangilia+ na kupiga tarumbeta. Athalia+ akayararua mavazi yake mara moja, akaanza kulia: “Ni hila! Ni hila!”+