Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Basi watu wote wakaenda Gilgali, kisha wakamfanya Sauli kuwa mfalme mbele za Yehova katika Gilgali. Ndipo wakatoa huko dhabihu za ushirika mbele za Yehova,+ na Sauli na watu wote wa Israeli wakaendelea kushangilia huko kwa hali ya juu sana.+

  • 2 Wafalme 11:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha akaona, na tazama, mfalme alikuwa amesimama kando ya nguzo+ kama ilivyo desturi, na wakuu na tarumbeta+ kando ya mfalme, na watu wote wa nchi wakishangilia+ na kupiga tarumbeta. Athalia+ akayararua mavazi yake mara moja, akaanza kulia: “Ni hila! Ni hila!”+

  • Zaburi 97:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 97 Yehova amekuwa mfalme!+ Dunia na ishangilie.+

      Na vile visiwa vingi vishangilie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki