- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 23:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        13 Kisha akaona, na tazama, mfalme alikuwa amesimama kando ya nguzo+ yake katika mwingilio, na wakuu+ na tarumbeta+ kando ya mfalme, na watu wote wa nchi walikuwa wakishangilia+ na kupiga+ tarumbeta, na waimbaji+ walikuwa na vyombo vya nyimbo na wale wanaotoa ishara za kutoa sifa. Athalia akayararua mavazi yake mara moja na kusema: “Ni hila! Ni hila!”+ 
 
-