Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 96:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Semeni kati ya mataifa: “Yehova amekuwa mfalme.+

      Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isitikiswe.+

      Yeye atatetea kwa unyoofu vikundi vya watu katika kesi yao.”+

  • Ufunuo 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote,+ Yeye aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu+ na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+

  • Ufunuo 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nikasikia kitu kama sauti ya umati mkubwa na kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya ngurumo nzito. Wakasema: “Msifuni Yah,+ kwa sababu Yehova Mungu wetu, Mweza-Yote,+ ameanza kutawala akiwa mfalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki