Mambo ya Walawi 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Sasa hii ndiyo sheria ya dhabihu ya ushirika+ ambayo mtu yeyote atamtolea Yehova: 1 Samweli 10:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nawe ushuke mbele yangu kwenda Gilgali;+ na tazama! ninashuka kuja kwako ili nitoe dhabihu za kuteketezwa, ili nitoe dhabihu za ushirika.+ Uendelee kungojea siku saba+ mpaka nitakapokujia, nami hakika nitakujulisha yale unayopaswa kufanya.”
8 Nawe ushuke mbele yangu kwenda Gilgali;+ na tazama! ninashuka kuja kwako ili nitoe dhabihu za kuteketezwa, ili nitoe dhabihu za ushirika.+ Uendelee kungojea siku saba+ mpaka nitakapokujia, nami hakika nitakujulisha yale unayopaswa kufanya.”