12 Na kutakuwa na kinubi na kinanda, tari na filimbi, na divai katika karamu zao;+ lakini hawauangalii utendaji wa Yehova, wala hawakuiona kazi ya mikono yake.+
29 Ninyi mtakuwa na wimbo+ kama ule wakati wa usiku ambapo mtu hujitakasa kwa ajili ya sherehe,+ na kushangilia kwa moyo kama kule kwa mtu anayetembea akiwa na filimbi+ ili kuingia katika mlima wa Yehova,+ kwa Mwamba wa Israeli.+