1 Samweli 11:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nahashi Mwamoni+ akapanda na kupiga kambi ili kushambulia Yabeshi+ kule Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi: “Fanya agano* pamoja nasi, nasi tutakutumikia.”
11 Nahashi Mwamoni+ akapanda na kupiga kambi ili kushambulia Yabeshi+ kule Gileadi. Watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi: “Fanya agano* pamoja nasi, nasi tutakutumikia.”