Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 21:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wakaulizana, “Ni kabila gani la Israeli ambalo halikufika Mispa mbele za Yehova?”+ Wakagundua kwamba hakuna yeyote kutoka Yabesh-gileadi aliyekuja kambini kukusanyika na Waisraeli wengine.

  • 1 Samweli 31:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakaaji wa Yabeshi-gileadi+ waliposikia mambo ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli, 12 mashujaa wote wakaondoka na kusafiri usiku kucha, wakaondoa maiti za Sauli na wanawe kutoka kwenye ukuta wa Beth-shani. Wakarudi Yabeshi na kuzichoma moto huko.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki