Kumbukumbu la Torati 28:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+ Zaburi 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mkono wako utawapata adui zako wote;+Mkono wako wa kuume utawapata wale wanaokuchukia. Zaburi 21:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana utawafanya wageuze migongo yao kwa kukimbia+Kwa nyuzi za upinde wako ambazo unatayarisha dhidi ya nyuso zao.+
7 “Yehova atawafanya adui zako wanaoinuka juu yako washindwe mbele yako.+ Kwa njia moja watakuja juu yako, lakini kwa njia saba watakimbia kutoka mbele yako.+
12 Kwa maana utawafanya wageuze migongo yao kwa kukimbia+Kwa nyuzi za upinde wako ambazo unatayarisha dhidi ya nyuso zao.+