Waamuzi 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wakaendelea kusema: “Ni kabila gani kati ya makabila ya Israeli ambalo halikuja mbele za Yehova katika Mispa?”+ Na tazama! hakuna yeyote aliyeingia kambini kutoka Yabesh-gileadi+ ili kuja kwenye kutaniko. 1 Samweli 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na kumhusu yeye, wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wakasikia yale ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli.
8 Nao wakaendelea kusema: “Ni kabila gani kati ya makabila ya Israeli ambalo halikuja mbele za Yehova katika Mispa?”+ Na tazama! hakuna yeyote aliyeingia kambini kutoka Yabesh-gileadi+ ili kuja kwenye kutaniko.
11 Na kumhusu yeye, wakaaji wa Yabesh-gileadi+ wakasikia yale ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli.