13 Na wana wa Israeli hawakuwafukuza+ Wageshuri na Wamaakathi katika nchi, bali Geshuri+ na Maakathi huendelea kukaa katikati ya Israeli mpaka leo hii.
7 Basi wakajikodishia magari 32,000+ na mfalme wa Maaka na watu wake.+ Ndipo wakaja na kupiga kambi mbele ya Medeba;+ nao wana wa Amoni wakakusanyika kutoka katika majiji yao, wakaja sasa kwa ajili ya vita.