Zaburi 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa mtu anayebaki safi utakuwa safi;+Na kwa mpotovu utakuwa mwenye hila;+ Mathayo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.+ 1 Petro 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa sababu imeandikwa: “Muwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu.”+