16 Yeye ndiye atakayekaa juu katika vilele;+ kilele chake kilicho salama kitakuwa mahali penye miamba ambapo ni pagumu kufikiwa.+ Hakika atapewa mkate wake;+ chemchemi yake ya maji haitaisha.”+
14 ndipo utakapopata furaha tele katika Yehova,+ nami nitakupandisha mahali pa juu pa dunia;+ nitakufanya ule kutokana na fungu la urithi la Yakobo babu yako,+ kwa maana kinywa chenyewe cha Yehova kimesema hayo.”+