Zaburi 105:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Akisema: “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani+Kuwa fungu la urithi wenu.”+ Zaburi 135:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na ambaye aliitoa nchi yao iwe urithi,+Urithi kwa Israeli watu wake.+ Yeremia 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Katika siku hizo watatembea, nyumba ya Yuda ikiwa kando ya nyumba ya Israeli,+ nao pamoja+ watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi ambayo niliwapa mababu zenu kuwa fungu la urithi.+
18 “Katika siku hizo watatembea, nyumba ya Yuda ikiwa kando ya nyumba ya Israeli,+ nao pamoja+ watatoka katika nchi ya kaskazini na kuingia katika nchi ambayo niliwapa mababu zenu kuwa fungu la urithi.+