Hesabu 33:53 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 53 Nanyi mtaimiliki nchi na kukaa humo, kwa sababu hakika nitawapa ninyi nchi hiyo mpate kuimiliki.+ Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+ Zaburi 78:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+ Zaburi 136:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na ambaye aliitoa nchi yao iwe urithi:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+
21 Na ambaye aliitoa nchi yao iwe urithi:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+