Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 32:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Basi Musa akawapa, yaani, wana wa Gadi+ na wana wa Rubeni+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu, ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, nchi ya majiji yake katika maeneo, na majiji ya nchi kuzunguka pande zote.

  • Kumbukumbu la Torati 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nasi tukaitwaa nchi hii wakati huo; kutoka Aroeri,+ kando ya bonde la Arnoni, na nusu ya eneo lenye milima la Gileadi, na majiji yake nimewapa Warubeni na Wagadi.+

  • Yoshua 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi hawa ndio wafalme wa nchi ambao wana wa Israeli waliwashinda, na kuimiliki nchi yao ng’ambo ya Yordani upande wa mapambazuko ya jua,+ kutoka bonde la mto la Arnoni+ hadi Mlima Hermoni+ na Araba+ yote upande wa mashariki:

  • Nehemia 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Nawe ukawapa falme+ na vikundi vya watu, ukawagawia fungu kwa fungu;+ hivi kwamba wakamiliki nchi ya Sihoni,+ nchi ya mfalme wa Heshboni,+ na nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani.+

  • Zaburi 44:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+

      Nawe ukawapanda hao badala yao.+

      Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+

  • Zaburi 78:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+

      Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+

      Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+

  • Zaburi 105:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Na hatua kwa hatua akawapa nchi za mataifa,+

      Nao wakaendelea kumiliki kazi ngumu ya vikundi vya mataifa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki