Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baada ya hilo tukachukua nchi yao na kuwapa Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase iwe urithi.+

  • Yoshua 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Musa mtumishi wa Yehova na wana wa Israeli ndio waliowashinda,+ kisha Musa mtumishi wa Yehova akawapa Warubeni+ na Wagadi+ na nusu ya kabila la Manase+ iwe urithi wao.

  • Yoshua 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Musa alikuwa ametoa zawadi ya urithi kwa nusu ya kabila la Manase katika Bashani,+ na kwa ile nusu nyingine Yoshua alitoa zawadi ya urithi pamoja na ndugu zao ng’ambo ile nyingine ya Yordani upande wa magharibi.+ Basi, pia, Yoshua alipowaacha waende zao kwa mahema yao, akawabariki.

  • 1 Mambo ya Nyakati 5:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa habari ya wana wa Rubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase; kati ya wale waliokuwa watu mashujaa,+ wanaume wanaochukua ngao na upanga na kupinda upinde na kuzoezwa katika vita, kulikuwa na 44,760 wanaoingia jeshini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki