7 Na Musa alikuwa ametoa zawadi ya urithi kwa nusu ya kabila la Manase katika Bashani,+ na kwa ile nusu nyingine Yoshua alitoa zawadi ya urithi pamoja na ndugu zao ng’ambo ile nyingine ya Yordani upande wa magharibi.+ Basi, pia, Yoshua alipowaacha waende zao kwa mahema yao, akawabariki.