Hesabu 21:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+ Hesabu 21:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Basi wakampiga yeye pamoja na wanawe na watu wake wote, mpaka ikawa hakuna mwokokaji aliyebaki kwake;+ nao wakaitwaa nchi yake.+
24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+
35 Basi wakampiga yeye pamoja na wanawe na watu wake wote, mpaka ikawa hakuna mwokokaji aliyebaki kwake;+ nao wakaitwaa nchi yake.+