Kumbukumbu la Torati 32:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+ Yoshua 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na sasa igawe nchi hii iwe urithi kwa yale makabila tisa na kwa ile nusu ya kabila la Manase.”+ Zaburi 136:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na ambaye aliitoa nchi yao iwe urithi:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
8 Wakati Aliye Juu Zaidi alipoyapa mataifa urithi,+Alipowatenganisha wana wa Adamu,+Ndipo alipoweka mpaka wa vikundi vya watu+Kuhusiana na hesabu ya wana wa Israeli.+
21 Na ambaye aliitoa nchi yao iwe urithi:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+