Kumbukumbu la Torati 32:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+ Isaya 33:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yeye ndiye atakayekaa juu katika vilele;+ kilele chake kilicho salama kitakuwa mahali penye miamba ambapo ni pagumu kufikiwa.+ Hakika atapewa mkate wake;+ chemchemi yake ya maji haitaisha.”+ Habakuki 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu ndiye nguvu zangu;+ naye ataifanya miguu yangu kama ile ya paa,+ na mahali pangu pa juu atanitembeza.+ Kwa kiongozi wa vinanda vyangu.
13 Aliendelea kumfanya apande juu ya mahali pa juu pa dunia,+Hivi kwamba akala mazao ya shamba.+Naye akaendelea kumfanya anyonye asali kutoka katika mwamba,+Na mafuta kutoka katika jiwe gumu;+
16 Yeye ndiye atakayekaa juu katika vilele;+ kilele chake kilicho salama kitakuwa mahali penye miamba ambapo ni pagumu kufikiwa.+ Hakika atapewa mkate wake;+ chemchemi yake ya maji haitaisha.”+
19 Yehova Bwana Mwenye Enzi Kuu ndiye nguvu zangu;+ naye ataifanya miguu yangu kama ile ya paa,+ na mahali pangu pa juu atanitembeza.+ Kwa kiongozi wa vinanda vyangu.