16 kwa kusudi la kwamba awawezeshe ninyi kulingana na utajiri+ wa utukufu wake mfanywe kuwa na uwezo katika mtu mliye kwa ndani+ mkiwa na nguvu kupitia roho yake,+
11 mkifanywa kuwa na nguvu kwa nguvu zote kwa kadiri ya uwezo wake wenye utukufu+ ili kuvumilia+ kikamili na kuwa wenye ustahimilivu pamoja na shangwe,