Zaburi 89:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Nami hakika nitaweka imara uzao wake milele+Na kiti chake cha ufalme kama siku za mbingu.+ Zaburi 89:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+ Luka 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 naye atatawala akiwa mfalme juu ya nyumba ya Yakobo milele, na ufalme wake hautakuwa na mwisho.”+
36 Uzao wake mwenyewe utakuwako mpaka wakati usio na kipimo,+Na kiti chake cha ufalme kama vile jua lilivyo mbele zangu.+